GET /api/v0.1/hansard/entries/1403491/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1403491,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1403491/?format=api",
    "text_counter": 138,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Chute",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 13583,
        "legal_name": "Chute Mohamed Said",
        "slug": "chute-mohamed-said"
    },
    "content": "Asante sana, Bw. Naibu Spika. Namshukuru Seneta wa Narok Kaunti, Sen. Olekina, kwa kuleta shida ambazo kaunti ziko nazo kuhusu madeni ambayo hayajalipwa kwa muda mrefu sana. Kwa kawaida, serikali za kaunti na Serikali Kuu bado ni serikali ambazo zimechaguliwa na raia wa nchi hii. Pesa ambazo wanatumia ni zile ambazo zimetolewa The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate."
}