GET /api/v0.1/hansard/entries/1403494/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1403494,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1403494/?format=api",
    "text_counter": 141,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Chute",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 13583,
        "legal_name": "Chute Mohamed Said",
        "slug": "chute-mohamed-said"
    },
    "content": "ambao wanafanya hiyo kazi, wanajaza malipo yao na yanapitishwa na wale watu wanaoshughulika na procurement ya huo mpango. Hakuna kitu kitakachofanyika katika nchi hii ama kaunti ambacho kimepita katika Bunge la Kitaifa au la kaunti bila kujulikana hiyo budget inapangiwa mradi gani. Shida iliyo katika kaunti ni kuwa, baada ya budget kupitishwa na kujulikana ni"
}