GET /api/v0.1/hansard/entries/1404446/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1404446,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1404446/?format=api",
"text_counter": 230,
"type": "speech",
"speaker_name": "Likoni, ODM",
"speaker_title": "Hon. Mishi Mboko",
"speaker": null,
"content": "Vile vile, tunajua kufikia sasa, kuna mambo ya kulipa fidia ambayo yanasimamiwa na Tume ya Ardhi na bado tuna matatizo nyeti. Tuna kesi ambazo hazijapata uamuzi, zimesimama na Wakenya wanatuangalia sana kuona ya kwamba Serikali ilioko mamlakani itaweza kuwapatia afueni Wakenya katika swala hili nyeti la ardhi."
}