GET /api/v0.1/hansard/entries/1404448/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1404448,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1404448/?format=api",
"text_counter": 232,
"type": "speech",
"speaker_name": "Likoni, ODM",
"speaker_title": "Hon. Mishi Mboko",
"speaker": null,
"content": "hawajarejeshewa. Tuna wale ambao wanasema ardhi ni zetu lakini hawaonekani. Kwa Kiingereza tunasema absentee landlords. Yote hayo ni katika zile dhulma za ardhi za kihistoria ambazo bado hazijatathminiwa na hatujapata suluhu katika matatizo haya."
}