GET /api/v0.1/hansard/entries/1405009/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1405009,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1405009/?format=api",
"text_counter": 385,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Olekina",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 407,
"legal_name": "Ledama Olekina",
"slug": "ledama-olekina"
},
"content": ". Mradi ambao ni wa bilioni mbili, unaishia kuhitaji bilioni sita. Hoja hii iliyoletwa na Sen. Faki inafaa kuhakikisha kwamba hakuna ufisadi. Seneti ikishapitisha zile pesa ambazo zitatengwa kujengea ile stadium katika Kaunti ya Mombasa, ule mda uliodhamiriwa kuhakikisha ya kwamba project hiyo imemalizika, umetiliwa maanani."
}