GET /api/v0.1/hansard/entries/1411846/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1411846,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1411846/?format=api",
    "text_counter": 238,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Kaloleni, ODM",
    "speaker_title": "Hon. Paul Katana",
    "speaker": null,
    "content": "Tukiwa pia tunataka kuipa nguvu ili iweze kuchunguza, kuna taabu pia ndani. Niko katika Kamati ya Ardhi ya Bunge. Kumekuwa na tuhuma nyingi sana kwamba tume huwa saa nyingine haiangalii yule mtu mdogo. Inaangalia wale watu wana uwezo. Kufikia sasa, tangu"
}