GET /api/v0.1/hansard/entries/1425818/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1425818,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1425818/?format=api",
"text_counter": 172,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Chute",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 13583,
"legal_name": "Chute Mohamed Said",
"slug": "chute-mohamed-said"
},
"content": "nyingi na ninamshukuru sana. Tangu Hoja ya kumwondoa ofisini iwakilishwe katika Bunge la Taifa, leo amefika mbele yetu na ninampongeza. Bi. Spika wa Muda, nilikuwa nimeulizwa kusoma swali la Sen. Korir na baadaye mambo yakabadilika kidogo. Hata hivyo, nina maswali mawili muhimu sana. Bw. Waziri anajua kuwa wakulima wa miwa, majani chai na kahawa wanasaidiwa na Serikali kulipa madeni yao. Sisi watu wa kutoka Upper na North Eastern ukulima wetu ni ng’ombe, mbuzi na ngamia. Kutokana na kiangazi kilichokuwa, tulipoteza ng’ombe, ngamia na mbuzi wengi sana. Ningependa kusikia kutoka kwake. Watu wanaongea kuhusu mfumo wa one man,"
}