GET /api/v0.1/hansard/entries/1456602/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1456602,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1456602/?format=api",
    "text_counter": 3992,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Mombasa County, ODM",
    "speaker_title": "Hon. Zamzam Mohammed",
    "speaker": null,
    "content": "Napongeza pia Kamati hii kwa sababu katika zile Technical and Vocational Education Training Institutes (TVETs), pia wamewekewa bajeti ya vijana. Kwa hivyo, mimi nawaomba vijana kule nje ambao walikua hawana ujuzi, bajeti imewekwa kwenu.Mara hii, sauti zenu zimesikika na mmewekewa bajeti nzuri sana ambayo inaweza kuwasaidia. Na mjitokeze muingie katika TVET na Vocational Training Centres ili muweze kupata taaluma mbali mbali ambayo itawawezesha nyinyi kupata ajira."
}