GET /api/v0.1/hansard/entries/1456603/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1456603,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1456603/?format=api",
"text_counter": 3993,
"type": "speech",
"speaker_name": "Mombasa County, ODM",
"speaker_title": "Hon. Zamzam Mohammed",
"speaker": null,
"content": "Nimeona pia katika Blue Economy ama Uchumi Samawati, kama mkaazi wa Mombasa ambaye anatoka sehemu ambayo ina bahari, tumeongezewa Ksh400 million katika ile kandarasi ya Liwatoni ambayo ni ya wavuvi wa samaki, ili waweze kuijenga na kuimaliza kwa sababu ilikua imekwama. Napongeza Kamati ya Bajeti na Makadirio kutukumbuka kama watu wanaotoka sehemu ambazo zina bahari ama uchumi samawati."
}