GET /api/v0.1/hansard/entries/1456604/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1456604,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1456604/?format=api",
    "text_counter": 3994,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Mombasa County, ODM",
    "speaker_title": "Hon. Zamzam Mohammed",
    "speaker": null,
    "content": "Mhe. Spika wa Muda, pia nimeangalia katika Rural Electrification and Renewable Energy Corporation (REREC). Inahusu mambo ya stima kuingia mashinani. Tukiangalia sehemu kwa mfano zenye ukame, ni sehemu ambazo hazijafikiwa na maendeleo kama kule ndani ndani Garissa na Ganze. Ikiwa hao wameongezewa pesa za kuweza kufikisha huduma ya stima hadi mashinani, napongeza sana. Ni kitu ambacho kitafanya maendeleo yafike mashinani."
}