GET /api/v0.1/hansard/entries/1456605/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1456605,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1456605/?format=api",
    "text_counter": 3995,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Mombasa County, ODM",
    "speaker_title": "Hon. Zamzam Mohammed",
    "speaker": null,
    "content": "Nimeangalia pia katika bajeti ya Ofisi ya Naibu wa Rais. Imepunguzwa, ijapokuwa sikuridhika ilivyopunguzwa. Ni kidogo. Imepunguzwa Ksh100 million pekee yake. Tuliona katika bajeti iliyopita kuwa Ksh600 million iliwekwa katika kurekebisha tu nyumba ambayo ilijengwa na takribani Ksh400 million. Kwa hivyo, ningependa kuomba hii Kamati ya Bajeti na Makadirio The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor."
}