GET /api/v0.1/hansard/entries/1491433/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1491433,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1491433/?format=api",
    "text_counter": 204,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Mwaruma",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 13223,
        "legal_name": "Johnes Mwashushe Mwaruma",
        "slug": "johnes-mwashushe-mwaruma"
    },
    "content": "Asante Mhe. Naibu Spika kwa fursa hii ili nichangie mjadala muhimu kuhusu Mswada wa kupatia bunge za kaunti uhuru. Kumekuwa na mjadala kwamba bunge za kaunti haziwezi kutimiza majukumu yao ambayo ni uangalizi, kutunga sheria na uwakilishaji vizuri kwa sababu hawana uhuru. The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposes only.A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and Audio Services,Senate."
}