GET /api/v0.1/hansard/entries/1494837/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1494837,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1494837/?format=api",
"text_counter": 70,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. (Dr.) Murango",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 13585,
"legal_name": "Murango James Kamau",
"slug": "murango-james-kamau"
},
"content": "Bw. Naibu Spika, kusiwe na mazoea ya Mawaziri kukataa kuja hapa baada ya kualikwa. Waswahili pia husema kuti la mazoea humwangusha mgema. Mawaziri hawa wataanguka kwa sababu ya kuzoea kukosa kuja hapa. Asante."
}