GET /api/v0.1/hansard/entries/1499498/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1499498,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1499498/?format=api",
"text_counter": 361,
"type": "speech",
"speaker_name": "Jomvu, ODM",
"speaker_title": "Hon. Bady Twalib",
"speaker": null,
"content": " Nimesimama kwa hoja ya nidhamu, Mhe. Spika wa Muda, kwa sababu ya Mhe. Tandaza. Ninajua watu huungwa mikono, lakini amesema anaunga Mhe. Irene mpaka miguu na ni msichana. Baadaye, anaweza sema anaunga viuno pia. Naona aiondoe hiyo."
}