GET /api/v0.1/hansard/entries/1502495/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1502495,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1502495/?format=api",
    "text_counter": 101,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Likoni, ODM",
    "speaker_title": "Hon. Mishi Mboko",
    "speaker": null,
    "content": " Alizungumzia umoja wa taifa. Nampongeza kwa kuweza kuleta uwiano wakati tulikuwa na ghasia zile za Gen-Z . Tunajua ya kwamba umoja wetu ni nguvu yetu. Kama hangeleta viongozi wengine ili tuwe na uwiano, leo tungekuwa wakimbizi katika taifa letu la Kenya. Tungeenda Uganda na Tanzania kutafuta makao. Kwa hivyo, ni vizuri tutambue ya kwamba sote ni Wakenya. Kama ulikuwa Upinzani, sasa sote ni Wakenya. Ni bora Wakenya wote wafaidike. Mambo ya kuwa na shares ..."
}