GET /api/v0.1/hansard/entries/1521537/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1521537,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1521537/?format=api",
"text_counter": 97,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Madzayo",
"speaker_title": "The Senate Minority Leader",
"speaker": {
"id": 679,
"legal_name": "Stewart Mwachiru Shadrack Madzayo",
"slug": "stewart-mwachiru-shadrack-madzayo"
},
"content": " Bw. Spika, ningependa kuunga mkono taarifa hii kuhusu mambo ya ngano. Wakulima wa ngano lazima waangaliwe pia ili mazao yao yanunuliwe katika masoko ya nje. Ni jambo la kusikitisha na madharau kwa wakulima wa ngano kutoonyeshwa kuwa ngano pia ni muhimu. Wakulima wengi hawajui watafanya nini na ngano waliovuna, mmojawao akiwa Sen. Wakili Sigei. Tulipokuwa tukizungumza naye, aliniambia kuwa amevuna ngano nyingi lakini hana mahali pa kuipeleka. Ni kama atapeana bure ama akae nayo na hatimaye iharibike. Taarifa hii ambayo imeletwa na Seneta wa Narok ni muhimu. Wakulima hao wanafaa kuangaziwa ili kuendeleza shughuli zao. Haina haja kuagiza ngano kutoka nje, hali ambayo itakandamiza wakulima wetu. Ni lazima wakulima hao waangaliwe na The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate."
}