GET /api/v0.1/hansard/entries/1545952/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1545952,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1545952/?format=api",
"text_counter": 55,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Mwaruma",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 13223,
"legal_name": "Johnes Mwashushe Mwaruma",
"slug": "johnes-mwashushe-mwaruma"
},
"content": "Nikimalizia kabisa, asubuhi sikupata fursa ya kuongea kuhusu ule Mswada ambao tuko nao hapa leo wa County Additional Allocations Bill ambao umechelewa kwa muda wa miezi nane. Bunge la Kitaifa wanasema ya kwamba hawataki pesa za barabara ziende The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate."
}