GET /api/v0.1/hansard/entries/1549381/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1549381,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1549381/?format=api",
"text_counter": 97,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Kinyua",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 13202,
"legal_name": "John Kinyua Nderitu",
"slug": "john-kinyua-nderitu-2"
},
"content": "Ni vizuri kuangaliwe kazi anayofanya. Kitambo kidogo, manaibu wa chifu na chifu walikuwa wanapewa askari ambao wangetumia iwapo wangetaka kufuata wezi na wagema wanaotengeneza pombe. Lakini wakati huu, chifu hana mlinzi yeyote. Yeye ni The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate."
}