GET /api/v0.1/hansard/entries/1553817/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1553817,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1553817/?format=api",
    "text_counter": 395,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Lamu East, JP",
    "speaker_title": "Hon. Ruweida Mohamed",
    "speaker": {
        "id": 2100,
        "legal_name": "Shariff Athman Ali",
        "slug": "shariff-athman-ali"
    },
    "content": " Nakushukuru, Mhe. Spika wa Muda, kwa sababu majibu kutoka kwa Waziri ni mazuri na pia amenipatia information zaidi. Lakini, masikitiko ni kuwa shule zinamtegemea Mbunge kwa pesa za maintenance . Ndiyo maana nilileta suala hilo hapa. Dirisha ikiharibika, hairekebishwi mpaka hazina ya National Government"
}