GET /api/v0.1/hansard/entries/1557043/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1557043,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1557043/?format=api",
    "text_counter": 472,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Mombasa County, ODM",
    "speaker_title": "Hon. Zamzam Mohammed",
    "speaker": null,
    "content": " Asante sana, Mhe. Spika wa Muda. Ningependa kumuunga mkono kwa haraka Mwenyekiti wangu, Hon. Alice Ng’ang’a. Siku ya Ijumaa tuliweza kuwahoji hawa wawili walioteuliwa, CPA Carren Achieng Ageng’o, ambaye ameteuliwa kusimamia Idara ya Ustawi wa Watoto; na Fikirini Jacobs, aliyependekezwa kama Katibu Mkuu katika Idara ya Masuala ya Vijana na Ustawi wa Uchumi Bunifu."
}