GET /api/v0.1/hansard/entries/1557045/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1557045,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1557045/?format=api",
"text_counter": 474,
"type": "speech",
"speaker_name": "Mombasa County, ODM",
"speaker_title": "Hon. Zamzam Mohammed",
"speaker": null,
"content": "Kuhusu kijana Fikirini Jacobs, tunajua vijana katika taifa hili wamekua na matatizo mengi, mpaka wengi wao wakatoka kuandamana barabarani. Tuliweza kumuuliza na akatueleza kuwa atahakikisha kuwa ataangalia masuala ya vijana. Alituhakikishia kwamba atafanya ubunifu wa nafasi za kazi, na pia kuwaelekeza vijana wote kwenye sekta ambazo watapata huduma katika Idara yake ya Masuala ya Vijana."
}