GET /api/v0.1/hansard/entries/1557046/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1557046,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1557046/?format=api",
"text_counter": 475,
"type": "speech",
"speaker_name": "Mombasa County, ODM",
"speaker_title": "Hon. Zamzam Mohammed",
"speaker": null,
"content": "Pia, Fikirini amekuwa kijana jasiri. Kama mama yake kutoka Kaunti ya Mombasa, ningependa kusema kuwa ni mtoto ambaye ametuinua kichwa juu. Hatukutegemea kuwa anajua masuala ya vijana kwa uweledi. Lakini alivyokuwa akieleza kwa ukakamavu, alitushika nyoyo zetu, kwa sababu tulijua kwamba vijana katika taifa hili wana mtihani mkubwa. Wengi walitoka na kulaumiwa, lakini vijana wamesoma katika idara mbalimbali na kubobea katika The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor."
}