GET /api/v0.1/hansard/entries/1558424/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1558424,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1558424/?format=api",
"text_counter": 245,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Chimera",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "Bi. Spika wa Muda, nimetoa na kuomba msamaha. Sen. Olekina amekuwa na wasiwasi ni kwa nini tunatoa fedha hii asilimia mia moja kwa ule mgao ambao unakwenda moja kwa moja kwa kaunti zetu. Amependekeza tuweze kufikiria njia mbadala za kuongeza kitita hiki. Ninakubaliana na mawazo yale. Hata hivyo, ni lazima tuanzie mahali fulani kwa sababu tunaona kero ambayo vijana wetu wamepitia."
}