GET /api/v0.1/hansard/entries/1558429/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1558429,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1558429/?format=api",
    "text_counter": 250,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Chimera",
    "speaker_title": "",
    "speaker": null,
    "content": "Bi. Spika wa Muda, kwa wale watakaopewa majukumu ya kuchunga fedha inayokuja kwa makundi ya michezo ya kaunti, ninawapa ilani kuwa fedha hii sio ya kutumiwa vibaya. Ipo kuhakikisha kwamba wale vijana wetu ambao tunawapenda; ambao tumekuwa tukiwasaidia kupitia vifaa au pesa, wapate fursa ya kushiriki katika michezo yao kikamilifu."
}