GET /api/v0.1/hansard/entries/1560005/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1560005,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1560005/?format=api",
"text_counter": 996,
"type": "speech",
"speaker_name": "Likoni, ODM",
"speaker_title": "Hon. Mishi Mboko",
"speaker": null,
"content": "ama treaty-making, tuwe tumefuata mazungumzo. Mara nyingi sisi hatutengenezi, lakini ni vizuri kuwe na uwakilishi wa watu ambao watatoa mapendekezo. Wakati huo ni muafaka wa kuyajua yale mapendekezo kabla ya ule mkataba kutengenezwa na kuletwa kwetu na kuambiwa tuweke sahihi kama taifa. Kwa sababu mkataba unazungumzia haki za The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor."
}