GET /api/v0.1/hansard/entries/1560006/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1560006,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1560006/?format=api",
    "text_counter": 997,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Likoni, ODM",
    "speaker_title": "Hon. Mishi Mboko",
    "speaker": null,
    "content": "kibanadamu na haki za kimsingi. Kwa kweli, haki za kibanadamu ni muhimu sana. Lakini, katika hizo haki za kibanadamu, kuna haki nyingine ambazo zinakiuka mila na tamaduni zetu, dini zetu na Afrika ama Uafrika. Kwa hivyo, lazima kila jambo lifanywe kwa utaratibu ufaao ndiposa tuwe tukiweka sahihi katika mikataba inaofaa. Namaanisha mikataba ambayo inasaidia Wakenya ambao hawana nafasi ya kuwa katika Bunge hili, ili waweze kusema kama wamekubali au kukataa mikataba hiyo."
}