GET /api/v0.1/hansard/entries/1560007/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1560007,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1560007/?format=api",
    "text_counter": 998,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Likoni, ODM",
    "speaker_title": "Hon. Mishi Mboko",
    "speaker": null,
    "content": "Kuna muda wa siku saba uliowekwa kama lazima kwa Bunge kujulishwa na watu. Ni vizuri kuwepo muda, bali sio kuletewa tu na kuambiwa tuweke sahihi ama tupatiwe vikwazo. Mara nyingi, hii mikataba ya kiulimwengu na kimataifa huja na vikwazo. Huenda wakasema hawatatupa msaada ambao wamekuwa wakitupatia."
}