GET /api/v0.1/hansard/entries/1561790/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1561790,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1561790/?format=api",
    "text_counter": 578,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Ganze, PAA",
    "speaker_title": "Hon. Kenneth Tungule",
    "speaker": null,
    "content": "Naunga mkono. Hata kama umeondolewa katika Bunge hili, nasisitiza kuwa ikiwezekana, Kamati husika iregeshe Mswada huu ili tuwe na sheria ambazo zitazingatiwa ili tuhakikishe kuwa manufaa ya sekta ya bodaboda yanasikika katika kila kona ya nchi hii. Impact ya sekta hii inaonekana kwa sababu wamerahisisha sana usafiri nchini mwetu. Lakini kwa sababu ya wale wachache ambao hawazingatii sheria, jina la watu wa bodaboda limeharibiwa sana. Kitendo cha uhalifu kikifanyika kule mashinani, mshukiwa wa kwanza huwa ni mtu wa bodaboda. Kwa hivyo, ni wakati mwafaka kwa zile asasi za Serikali zinazohusika kama vile"
}