GET /api/v0.1/hansard/entries/1565507/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1565507,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1565507/?format=api",
    "text_counter": 192,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Omogeni",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 13219,
        "legal_name": "Erick Okong'o Mogeni",
        "slug": "erick-okongo-mogeni"
    },
    "content": "Asante, Bw. Naibu Spika. Hii Seneti ni Bunge la rekodi na Wakenya wanashuhudia Mswada huu na jinsi tunavyozungumza hapa kwenye runinga zao. Tunapaswa yale mambo ambayo tunazungumza hapa, yawe ni ya ukweli na tukiulizwa swali tunaweza kutetea. Ninataka kuuliza hoja ya nidhamu kwa rafiki yangu Seneta wa Embu. Amesema kwamba yeye anangoja siku ambayo Serikali itafanya Muguka kuwa na value addition. Ningependa Sen. Mundigi atueleze, kutokana na sayansi yetu, kuna utafiti ambao umefanywa ambapo anaweza kusema kwamba kweli Muguka inaweza kufanyiwa value addition? Ningependa kuelewa kutoka kwa Seneta wa Embu."
}