GET /api/v0.1/hansard/entries/1565509/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1565509,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1565509/?format=api",
    "text_counter": 194,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Munyi Mundigi",
    "speaker_title": "",
    "speaker": null,
    "content": "Bw. Naibu Spika, nilisema pesa iweze kupatikana ili mkulima aweze kufaidika. Sen. Omogeni alipokuwa anazungumza hapa alisema kwamba Mount Kenya wamekuwa favoured katika mambo ya kilimo. Lakini mambo mengi yanafaa kuangaliwa ndio wakulima wote Kenya wafaidike. Ukulima wa mimea kama muguka na miraa, majani chai na hata sukari inafaa iangaliwe ndio mkulima apate value addition na awache kutaabika. Hata kama haijakubaliwa, kuna mambo inafaa kufanywa ndio wakulima wote katika Kenya waweze kufaidika."
}