GET /api/v0.1/hansard/entries/1565853/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1565853,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1565853/?format=api",
"text_counter": 268,
"type": "other",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "watoto wa mabwenyenye na matajiri ambao kwa shule zao za chekechea, wanaenda kwa magari na wanakunywa maziwa kwa chupa zilizoundwa sawasawa? Wanabembelezwa na kuimbiwa nyimbo za kulala, ilhali watoto wa mashinani wanakung’utwa na mbu pasipo wao kuwa na chochote ndani ya tumbo zao. Ninaomba tunapokata kauli---"
}