GET /api/v0.1/hansard/entries/1569994/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1569994,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1569994/?format=api",
    "text_counter": 206,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Miraj",
    "speaker_title": "",
    "speaker": null,
    "content": "Bw. Spika, kwanza niruhusu nimpongeze Waziri wetu kwa kuona kwamba vyeti vyetu sasa vinatambulika na mataifa manne ikiwemo Korea. Juzi, tumeona katika Facebook page yao kwamba wameweza kusign pamoja na Italy. Lakini, swali hili nimeuliza kwa mara ya pili. Niliuliza awamu ya Mvurya aliyekuwa Waziri katika Wizara hii hii na nimeliuliza tena. Sababu ya kuuliza swali hii tena ni kwamba jamii zetu za pwani hazitononoki jumla ya kuwa tunaona kwamba---"
}