GET /api/v0.1/hansard/entries/1588726/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1588726,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1588726/?format=api",
    "text_counter": 125,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Lamu East, JP",
    "speaker_title": "Hon. Ruweida Mohamed",
    "speaker": null,
    "content": " Mhe. Spika wa Muda, naomba kutoa hoja kwamba Bunge hili likubaliane na kamati ya Bunge zima kuhusu ripoti hiyo. Ninamuomba Mhe. Owen Baya aunge kuafiki Hoja ya kukubaliwa kwa ripoti ya Kamati ya Bunge zima."
}