GET /api/v0.1/hansard/entries/1588738/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1588738,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1588738/?format=api",
    "text_counter": 137,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Kitui South, JP",
    "speaker_title": "Hon. (Dr) Rachael Nyamai",
    "speaker": null,
    "content": " Mhe. Spika wa Muda, ningependa kuchukua fursa hii kumpa kongole Mheshimiwa wa Lamu Mashariki, Mhe. Ruweida Mohamed. Amefanya kazi nyingi sana. Kwa kawaida, Mhe. Ruweida Mohamed anajali watu wake wa Lamu, hususan kuhusu mambo yanayohusu bahari na umbali kutoka Nairobi. Tumemsikia akiwa Bungeni akisisitiza jinsi anavyopenda kuhakikisha kuwa watu wake wanapewa fidia, hasa kwa mambo yanayohusu bahari."
}