GET /api/v0.1/hansard/entries/1589232/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1589232,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1589232/?format=api",
"text_counter": 273,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Munyi Mundigi",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "Bw. Spika, Sen. Nyutu hafai kutaja jina la Mhe. Rais wa Kenya wakati hapa tunazungumza mambo ya devolution na kuokoa gavana. Kwa hivyo, amekosea kutaja jina la Mhe. Rais wa Kenya katika kikao hiki."
}