GET /api/v0.1/hansard/entries/1589273/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1589273,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1589273/?format=api",
"text_counter": 314,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Kinyua",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "Ndiyo, ninajua ya kwamba Gavana wa Kaunti ya Isiolo anaweza kuwa na shida, lakini tunapaswa kufuata sheria. Sheria zikifuatwa sina hofu rohoni mwangu. Watu wa Isiolo wanataka haki itendwe lakini, sheria ni kama msumeno; inakata mbele na nyuma. Kwa hivyo, tufuate sheria na tukifuata sheria ukweli utapatikana lakini kwa leo ninaunga mkono pingamizi ya hapo awali kwamba hakukuwa na vikao katika Bunge la Isiolo."
}