GET /api/v0.1/hansard/entries/1589275/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1589275,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1589275/?format=api",
    "text_counter": 316,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Shakila Abdalla",
    "speaker_title": "",
    "speaker": null,
    "content": "Asante, Bw. Spika. Hii ni Hoja muhimu sana leo. Ni muhimu kwa Bunge hili la Seneti kutoa uamuzi ambao utaridhisha kila mtu katika Kenya yetu kwa sababu utakuwa ni mfano mwema wa usoni. Hapa ninaona mambo ni mawili. Kuna mchakato na kuna ushahidi. Pengine watu wa Kaunti ya Isiolo wako na ushahidi na kesi ya kwamba wana haki ya kuimpeach gavana wao lakini mchakato ambao ni process haukufuatwa. Kwa hivyo, tunaomba ikiwezekana, huu mvutano uishe, kufuatwe mchakato ambao umewekwa kikamilifu. Mswada uletwe hapa tumalize hii kazi. Changamoto ambayo nimeona hapa ni kwamba mchakato ama process haikufuatwa. Kwa hivyo, kama kuna ushahidi na kama wako Hoja ya kutosheleza"
}