GET /api/v0.1/hansard/entries/1589281/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1589281,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1589281/?format=api",
    "text_counter": 322,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Kibwana",
    "speaker_title": "",
    "speaker": null,
    "content": "Asante, Bw. Spika. Mchakato wa kung’oa kiongozi aliyechaguliwa na watu sio jambo rahisi; ni jambo nzito. Hapa Seneti, wanauliza kitu kidogo tu: Ushahidi uko wapi? Sitazungumza sana lakini ningependa kuuliza tu: Kama kuna ushahidi wowote ungeletwa na tuweze kuendelea. Tulikuwa hatuna haraka yoyote. Kama hamuna ushahidi wowote na kweli tumeona video, tukajaribu kuuliza maswali na tukajibiwa kwamba hapakuwa na kikao. Kwa hivyo, tunasikitika sana kuwa labda huu ushahidi uliletwa bila kujitayarisha vilivyo. Huyu kiongozi anafaa kung’olewa lakini pia ang’olewe kwa njia ya haki."
}