GET /api/v0.1/hansard/entries/1625165/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1625165,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1625165/?format=api",
    "text_counter": 380,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. (Dr.) Murango",
    "speaker_title": "",
    "speaker": null,
    "content": "Unapita katika shedi za boda boda, kitu cha kwanza kuona ni picha kubwa ya gavana. Bila kupoteza wakati, ningependa kuwaambia wananchi walio katika kaunti kwamba ukiona bango limewekwa mahali hiyo ni kumbusho kwamba kuna kitu kimeibiwa."
}