GET /api/v0.1/hansard/entries/1625166/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1625166,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1625166/?format=api",
    "text_counter": 381,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. (Dr.) Murango",
    "speaker_title": "",
    "speaker": null,
    "content": "Hebu nitoe falsafa moja ya bweha na simba. Wakati mmoja simba alimshika bweha na akamwambia, “nitakukula kama hutaniletea kitu chingine cha kula.” Bweha akasema, “nitakuletea, tena kikubwa utakachokula siku mbili au tatu.” Bweha alienda kwa punda na kumwelezea kwamba simba na wanyama wote walikuwa wamekubaliana kwamba punda ndiye kiongozi na kwa hivyo, alikuwa akiitwa na simba."
}