GET /api/v0.1/hansard/entries/1625167/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1625167,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1625167/?format=api",
"text_counter": 382,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. (Dr.) Murango",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "Alipofika kwa simba, jambo la kwanza ni kumrukia na kumg’ata mkia. Mkia ulikatika na punda akakimbia akipiga mayowe. Alifuatwa na bweha na kuambiwa, “kwani wewe ni baradhuli. Mbona unakimbia? Simba amekukata mkia uli uweze kukalia kiti cha enzi. Huwezi kukalia ukiwa na mkia.”"
}