GET /api/v0.1/hansard/entries/1626475/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1626475,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1626475/?format=api",
    "text_counter": 151,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Mwaruma",
    "speaker_title": "",
    "speaker": null,
    "content": "Bi. Spika wa Muda, sipendi kuendelea zaidi ya hapo lakini ningeomba Kamati ya Seneti ya Fedha na Bajeti, wakati wa sera ya tatu ya kugawanya hizi fedha za kusawazisha maeneo yalioachwa nyuma kimaendeleo, basi tuangalie ili watu wa Taita na Taveta waangaziwe ili ---"
}