GET /api/v0.1/hansard/entries/1626479/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1626479,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1626479/?format=api",
"text_counter": 155,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Sifuna",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "Ndugu yangu, Mhe. Mwaruma, nimekusikiza kweli ukizungumza hapa na hata mwenzangu, Mhe. Ledama Olekina – tunapata huzuni sana lakini tunashangaa maanake ripoti zipo kwamba baadhi ya viongozi wakuu katika taifa hili la Kenya, ni wakaazi wa Taita Taveta. Hivi ni kusema hawana habari ya dhila hizi zote ambazo mnazipitia? Hilo tu ndilo swali nilikuwa ninataka nimjulishe kwamba mkaazi mmoja wa Taita Taveta ni kiongozi mkuu wa taifa hili. Kwa hivyo, sielewi kama Mkenya, mambo haya yanawezaje kuendelea ilhali una wadosi pale. Labda atuelezee shida iko wapi. The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate."
}