GET /api/v0.1/hansard/entries/1626480/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1626480,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1626480/?format=api",
"text_counter": 156,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Mwaruma",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "Asante, Bi. Spika wa Muda. Asante Seneta wa Nairobi, Sen. Sifuna, kwa hiyo taarifa uliyonipa. Ni kweli kwamba wakuu wengi wa nchi hii wako huko lakini yale maendeleo ukiangalia pale wako ni kweli maendeleo yanatokea. Kwa mfano, kuna barabara mbili kubwa sana ambazo zimetengenezwa. Zimetumia mabilioni ya pesa, ya kuelekea shambani ya hawa wakubwa lakini huko kwingine tumeachwa nyuma. Sina haja kusema maanake tukienda huko leo, utaona kwamba zile barabara kubwa zinaelekea kwa hawa wakubwa ambao unasema."
}