GET /api/v0.1/hansard/entries/1626486/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1626486,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1626486/?format=api",
"text_counter": 162,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Wafula",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "Nimewasikiza kwa makini sana baadhi ya viongozi wenzangu ambao wana hisia kwamba fedha ambazo mtoza ushuru anatoa, ni Lazima ziende tu maeneo yao pekee. Sisi ni kuangalia kupitia televisheni. Ni vyema waelewe kwamba japo kuna maeneo ambayo yalipata nafasi ya kupata mandeleo wakati ya awamu ya kwanza ya Serikali, kuna maeneo ambayo vile vile hayajapata maendeleo kwa muda huo. Ni Lazima tunapotathmini jinsi fedha hizi zinavyopeanwa, tuzingatie maeneo kama hayo."
}