GET /api/v0.1/hansard/entries/1626487/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1626487,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1626487/?format=api",
    "text_counter": 163,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Wafula",
    "speaker_title": "",
    "speaker": null,
    "content": "Ninasimama hapa kwa sababu Kaunti ya Bungoma kwa muda imekuwa kwa upinzani – siku za Mhe. Raisi Toroitich Arap Moi. Serikali zilizofuata, chini ya Mhe. Muigai Uhuru Kenyatta, tulikuwa katika upinzani. Ukiangalia jinsi fedha zilikuwa zinatolewa kupitia hazina kuu ya Serikali, wakati huo hatukuwa na cha kujivunia katika Serikali."
}