GET /api/v0.1/hansard/entries/1626488/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1626488,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1626488/?format=api",
"text_counter": 164,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Wafula",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "Ninaamini kwamba ni haki Bungoma ipate fedha hizi kwa sababu eneo Bunge la Mlima Elgon na maeneo Bunge ambayo yanapakana na Mlima Elgon, kihistoria na kimaendeleo yalikuwa yamewachwa nyuma. Ni lazima wanapoweka fedha katika bajeti na jinsi nimeshukuru Kamati - mmenukuu eneo la Mlima Elgon - Lazima wajue kwamba miundo mbinu ambayo imo katika Mlima Elgon sio nzuri: Afya, Barabara, maji na kadhalika."
}