GET /api/v0.1/hansard/entries/174286/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 174286,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/174286/?format=api",
"text_counter": 598,
"type": "speech",
"speaker_name": "Mr. Mungatana",
"speaker_title": "The Assistant Minister for Medical Services",
"speaker": {
"id": 185,
"legal_name": "Danson Buya Mungatana",
"slug": "danson-mungatana"
},
"content": " Tena kuongezea, wanataka kuwa marais. Ni aibu kwamba sisi hapa Kenya tunaona vichwa vya magazeti. Kuna kashfa ya Triton, ambayo ni ya Kshs7 billion. Tuna na kashfa ya mahindi ya karibu Kshs1 billion. Tuna kashfa katika utalii ya Kshs35 million."
}