GET /api/v0.1/hansard/entries/350726/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 350726,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/350726/?format=api",
"text_counter": 138,
"type": "speech",
"speaker_name": "Mombasa County Women Representative",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 874,
"legal_name": "Mishi Juma Khamisi",
"slug": "mishi-juma-khamisi"
},
"content": "(Hon. (Ms.) Khamisi) : Asante sana Bw. Spika. Ninaitwa Mishi Juma na ni muwakilishi wa akina mama katika kaunti ya Mombasa. Kwanza kabisa, napenda kukupa pongezi nyingi kwa kuchaguliwa katika kiti chako hicho; pia nataka kutoa pongezi kwa Hotuba ya Mtukufu Rais, Uhuru Kenyatta. Nina machache ya kuzungumzia katika ajenda zake alizozungumzia kuhusu ya nchi yetu ya Kenya."
}