GET /api/v0.1/hansard/entries/359881/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 359881,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/359881/?format=api",
"text_counter": 345,
"type": "speech",
"speaker_name": "Hon. S.A. Ali",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 2100,
"legal_name": "Shariff Athman Ali",
"slug": "shariff-athman-ali"
},
"content": "Hoja hii inafuatana na Katiba yetu ambayo tuliipitisha kwa kusema kwamba tutawasimamia na kuwasaidia wazee. Jambo hili liko katika Kipengee cha 57 cha Katiba ya Kenya. Kipengee hiki kinasema: âThe State shall take measures to ensure the rights of older persons.â Kipengee cha 57(d) kinasema: âto receive reasonable care and assistance from their family and the State.â"
}